Singer Diamond Platnumz’s manager Babu Tale has decided to intervene to save Diamonds relationship with his baby mama, Ugandan socialite and business woman Zari Hassan.
He stated that it was an easy task for him and he has been waiting for their pains to cool down, before he did anything adding that he was set to travel to South Africa to talk to Zari.
“Naona watu mnaniandikia niwarudishe Mr and Mrs dangote, ili kwangu ni kama kumsukuma mlevi yani kazi ndogo sana, ila Niliwaacha tu kwanza kila mtu sumu na hasira za mioyo yao ziwaishe ili wakirudiana akili iwakae sawa, sasa naona muda muafaka wa kulitumia jina langu ipaswavyo, kama ambayo mama Tee ananiita "Godfather", siendi na magoti wala kutambaa nitapanda ndege kwenda hadi SA kuongea na mtumzima mwenzangu na ninaamini yataisha kwa asilimia 100, wananzengo niende nisiende?” said Babu Tale.
Tale in another post shared a picture of himself with a snippet of his air ticket to South Africa.
“Nimedhamiria kuyamaliza kwa msukumo wa comment zenu kwenye post yangu iliyopita hivi nipo kipawa off to Pretoria South Africa. Zingatia muda niliokata ticket na muda wa post yangu ya nyuma it's a coincidence. ,” he said.
Tale’s move could have been triggered by reactions from Diamond’s fans, friends and family members who have openly said that they make a beautiful couple after the release of Diamond’s new song Iyena that features Zari as the main video vixen.